Header Ads

ad

Mafisadi Ndani ya CCM Roho juu, Mwenyekiti Acharuka

Huwezi ukaanza kupiga vita rushwa na ufisadi ndani ya Serikali wakati chama kina rushwa na ufisadi, chama nacho tunataka tukisafishe, mambo ya rushwa na ufisadi yaishe ili Tanzania iende vizuri, ndio maana tumeunda tume ya Dkt. Bashiru Ally imefanya kazi nzuri sana-Mhe.Dkt. JPM.

No comments:

Theme images by merrymoonmary. Powered by Blogger.