Header Ads

ad

#BREAKING NEWS;Mapacha Walioungana Wafariki Huko Iringa

Mapacha walioungana (Maria na Consolata) wamefariki dunia usiku huu katika hospitali ya Iringa.

Mkuu wa Wilaya ya Iringa @Kasesela amethibitisha.


Walikuwa ni Wanafunzi wa mwaka wa Kwanza Shahada ya Ualimu Ruaha Catholic University Iringa.

Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un"

No comments:

Theme images by merrymoonmary. Powered by Blogger.